#Local News

KNUT YAAMRISHA WALIMU WA JSS KUREJEA KAZINI

Chama cha kitaifa cha walimu KNUT kimewaagiza walimu wa shule za sekondari ya msingi JSS wanaogoma kurejea kazini.

Katibu mkuu wa KNUT Collins Oyuu anasema chama hicho kiko tayari kufanya mazungumzo na tume ya huduma za walimu TSC kushughulikia malalamiko yao amabyo yamekuwa yakiibuliwa wakisema kwamba wanafunzi wanaangaika na wanasalia nyuma kimasomo.

Oyuu amesema tayari TSC imekubali kuondoa barua walizokuwa wameandikiwa baadhi ya walimu kutaka kueleza ni kwa nini wasichukuliwe hatua kwa kukosa kurejea kazini.

KNUT YAAMRISHA WALIMU WA JSS KUREJEA KAZINI

KENYA YAPATA UFADHILI WA DOLA BILIONI 3.6

KNUT YAAMRISHA WALIMU WA JSS KUREJEA KAZINI

MSICHANA WA MIAKA 18 AJIUA KISUMU

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *