#Local News

WAFUNGWA KWENYE KESI YA THUO KUHUKUMIWA JUNI

Wafungwa sita waliopatikana na hatia ya mauaji ya aliyekuwa mbunge wa Juja George Thuo watahukumiwa tarehe 21 mwezi ujao, huku mjane wa marehemu Judy Thuo akiiomba mahakama kuwapa adhabu kali.

Jaji Roselyn Korir amesema atatoa uamuzi wake kuhusu hukumu ambayo iataashiria kukamilika kwa kesi ya mauaji ya Thuo

Wafungwa hao ni Paul Wainaina Boiyo, msaidizi wa Thuo Christopher Lumbazio Andika, wacheza santuri Andrew Karanja Wainaina na Samuel Kuria Ngugi, Esther Ndinda Mulinge na Ruth Watahi Irungu 

Imetayrishwa na Antony Nyongesa

WAFUNGWA KWENYE KESI YA THUO KUHUKUMIWA JUNI

RUTO APONGEZA MFUMO WA KUFADHILI VYUO VIKUU

WAFUNGWA KWENYE KESI YA THUO KUHUKUMIWA JUNI

UNYANYAPAA, UBAGUZI WAIPONZA SHULE

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *