#uncategorized

SARAFU

Na katika ubadilishanaji fedha dola moja ya Marekani kwa sasa inanunuliwa kwa shilingi 128 na kuuzwa kwa shilingi 133 huku Euro moja ikinunuliwa kwa shilingi 136 na kuuzwa kwa shilingi 148.

Shilingi moja ya Kenya dhidi ya Uganda inanunuliwa kwa shilingi 30 na kuuzwa kwa shilingi 28 huku shilingi moja ya kenya dhidi ya Tanzania inanunuliwa kwa shilingi 20 na kuuzwa kwa shilingi 19.

Imetayarishwa na Maureen Amwayi

SARAFU

KENYA YAANDAA MAONYESHO YA MAUA

SARAFU

BABU OWINO, WEZAKE 6 WAONDOLEWA MASHTAKA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *