#Business

CBK: RIBA YA MIKOPO KUSALIA

Wakopaji wa mikopo wamepata afueni baada ya Benki Kuu ya Kenya (CBK) kutangaza kwamba haitaongeza kiwango cha riba, bali itabakia asilimia 13,

CBK imesema msimamo wa sasa wa sera ya fedha umepunguza vitisho vya mfumuko wa bei, licha ya benki kuendelea kupunguza viwango vya mikopo kwa wateja, huku wengi wa wakopaji wakiendelea kushindwa kulipa mikopo hiyo

Katika taarifa, CBK imesema mfumuko wa bei unatarajiwa kupungua zaidi na hivyo kuwapa afueni kubwa kwa Wakenya walio na uhaba wa pesa.

Imetayarishwa na Maureen Amwayi

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *