#Local News

KAMPENI ZASHIKA KASI MAGHARINI KILIFI

Wanasiasa wa mrengo wa azimio na kenya kwanza kaunti ya kilifi wameanzisha kampeni baada ya ushindi wa mbunge wa magharini Harrison Garama Kombe kutupiliwa mbali na mahakama

Chama cha ODM kikiongozwa na mwenyekiti wa vijana Samir Nyundo kinafanya kila juhudi kudumisha kiti hicho

Viongozi wa UDA wametoa hakikisho la Stanley Kenga kuibuka na ushindi ambao kulingana nao ulikuwa wake kabla ya mpinzani wake kutangazwa kuwa mshindi

Imetayarishwa na Janice Marete

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *