#Local News

MABWAWA YA WAKOLONI YAHIFATHIWA TRANSNZOIA

Serikali ya kaunti ya transnzoia imeanzisha mpango wa kuhifadhi mabwawa 86 ambayo yametelekezwa baada ya kuondoka kwa mkoloni.

Kwa mujibu wa Waziri wa fedha Pepela Wanjala na katibu katika wizara ya maji na mazingira katika kaunti hiyo Dorothy Nyukuri mabwawa hayo yatasaidia kuimarisha maisha ya wakaazi vile vile kuimarisha uchumi katika kaunti hiyo.

Wakaazi wanaoishi karibu na mabwawa hayo wameiomba serikali ya kaunti ya Transnzoia kuwahusisha katika shughuli hiyo kwa manufaa yao wenyewe.

Imetayarishwa na Janice Marete

MABWAWA YA WAKOLONI YAHIFATHIWA TRANSNZOIA

JOPOKAZI LAUNDWA KUMPIGIA DEBE RAILA AFRIKA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *