#Local News

KRA YAHAMASISHA WAKAAZI WA MKOA WA PWANI KUHUSU ULIPAJI USHURU

Mamlaka ya ukusanyaji ushuru nchini KRA imezindua mpango wa kuhamasisha umma kuhusu umuhimu wa kulipa ushuru eneo la pwani

Mpango huo uliozinduliwa jijini Mombasa unalenga kaunti za pwani katika juhudi za kuafikia makadirio ya bajeti ya mwaka wa kifedha 2024-2025

Wakaazi wa eneo hilo vile vile wamehamasishwa kuhusu mpango wa msamaha yaani KRA amnesty program

Imetayarishwa na Janice Marete

KRA YAHAMASISHA WAKAAZI WA MKOA WA PWANI KUHUSU ULIPAJI USHURU

RUTO ATAKUWA MGENI WA HESHIMA KATIKA SHEREHE

KRA YAHAMASISHA WAKAAZI WA MKOA WA PWANI KUHUSU ULIPAJI USHURU

GAVANA MWADIME KUFUFUA UFUGAJI

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *