#Local News

HATUSHINDWI KUTUMIA PEA; MAGAVANA

Baraza la magavana limeendelea kumlaumu mdhibiti wa bajeti kwa kuchelewesha mgao wa fedha za kaunti.

Kwa mujibu wa naibu mwenyekiti wa baraza la magavana Ahmed Abdulai shughuli za maendeleo katika kaunti zimelemazwa kufuatia kucheleweshwa kwa fedha za kaunti.

Abdulai ambaye pia ni gavana wa kaunti ya wajir amepuuzilia mbali madai ya mdibiti wa bajeti Margaret Nyakango kwamba kaunti nyingi ushindwa kutumia fedha zilizotengewa na kusema hilo usababishwa na kuchelewa kwa fedha hatua ambayo uwanyima fursa magavana ya kupangia fedha hizo.

Imetayarishwa na Janice Marete

HATUSHINDWI KUTUMIA PEA; MAGAVANA

VIONGOZI WA UDA WAMTAKA RUTO KUSITISHA MZOZO

HATUSHINDWI KUTUMIA PEA; MAGAVANA

CHIPU WAKO TAYARI KWA KOMBE LA DUNIA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *