#Local News

RUTO NA GACHAGUA SIO MAADUI ASEMA BABU OWINO

Mbunge wa embakasi mashariki Babu Owino amejitokeza kupinga madai yanayoendelea kuibuliwa kwamba rais william ruto na naibu wake Rigathi Gachagua kwamba wanatofautiana.

Kwa mujibu wa Babu wawili hao hawana tofauti zozote na kwamba tofauti zao ni njama tu ya kutafuta uelewano na wakaazi wa mlima Kenya baada ya wao kukosa kutimiza ahadi walizotoa kwa wakaazi hao.

Imetayarishwa na Janice Marete

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *