#Local News

AFARIKI AKIFARIJI

Familia moja katika kaunti ndogo ya Bondo ina huzuni baada ya jamaa yao kuzimia na kufariki alipokuwa akitoa ushahidi katika kesi ya urithi wa ardhi katika mahakama ya Bondo.


Marehemu amekimbizwa katika hospitali ya kibinafsi na familia yake, ambapo ameaga dunia alipokuwa akipokea matibabu.


Kamanda wa Polisi wa Kaunti ya Siaya Cleti Kimaiyo amesema kisa hicho kimeripotiwa katika kituo cha polisi cha Bondo na Dick Ochiel, msimamizi wa mahakama ya Bondo.

Imetayarishwa na Janice Marete

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *