#Football #Sports

MBAPPE AJIUNGA NA REAL MADRID

Nahodha wa Ufaransa Kylian Mbappe jana Jumapili alikiri kwamba hataiwakilisha nchi yake kwenye michuano ya Olimpiki ya Paris ijayo

Mbappe amesajiliwa na klabu Real Madrid na atajiunga na mabingwa hao wa Ulaya kwa msimu mpya chini ya uhuru wa mkataba kutoka Paris Saint-Germain

Msimu wa Uhispania unatarajiwa kuanza wiki moja baadaye, wakati Madrid pia wanatarajiwa kucheza na Atalanta kwenye UEFA Super Cup huko Warsaw mnamo Agosti 14

Imetayarishwa na Nelson Andati

MBAPPE AJIUNGA NA REAL MADRID

STARLETS KWENDA KAMBI KWA WIKI TATU

MBAPPE AJIUNGA NA REAL MADRID

MBIO ZA MTOZA USHURU

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *