#Local News

KINA MAMA TUJITEGEMEE

Kina mama katika kaunti ya transnzoia wamehimizwa kujiunga na vyama vya  ushirika na biashara ndogo ndogo ili kuimarisha uchumi wa taifa na mapato yao.

Afisa wa mamlaka ya vyama vya ushirika Philomena Kirwa  akitoa mafunzo kwa wajane na wakongwe eneo mla Waigama wamesema wamama wana jukumu kubwa katika ukuaji wa uchumi

Imetayarishwa na Janice Marete

KINA MAMA TUJITEGEMEE

USHURU KWA SODO? JAMANI!!!!

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *