#Local News

GEN-Z MLIKENI SERIKALI ZA KAUNTI;ELSIE MUHANDA ASEMA

Mwakilishi wa kike katika kaunti ya Kakamega Elsie Busihile Muhanda amewataka vijana kuanza kumlika serikali za kaunti ili kubaini iwapo viongozi wanatekeleza miradi ya maendeleo kama walivyoahidi wakati wa kampeni.

Muhanda aidha ameonyesha kurithishwa na juhudi za vijana wanaoendeleza maandamano ili kushinikiza serikali kutekeleza ahadi zake kwa wananchi.

Imetayarishwa na Janice Marete

GEN-Z MLIKENI SERIKALI ZA KAUNTI;ELSIE MUHANDA ASEMA

MENEJA WA UWEKEZAJI KUJUA HATIMA YAKE LEO

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *