#Football #Sports

THOMAS MULLER ANASTAAFU

Mshambulizi wa Ujerumani Thomas Muller alisema kuwa anastaafu kucheza soka la kimataifa baada ya michuano ya Euro 2024 ambayo timu mwenyeji ilitolewa katika robo fainali.

Muller, ambaye anatimiza umri wa miaka 35 mwezi Septemba, alikuwa kiungo muhimu wa timu ya Ujerumani iliyoshinda Kombe la Dunia la 2014.

MULLER mwenye mvuto pia alifunga bao la kwanza katika ushindi usiosahaulika wa Ujerumani wa mabao 7-1 dhidi ya wenyeji Brazil katika nusu fainali.

Imetayarishwa na Janice Marete

THOMAS MULLER ANASTAAFU

YEGO HAJAKATA TAMAA

THOMAS MULLER ANASTAAFU

HALI YA MAANDAMANO NCHINI

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *