KENYA YAJIUNGA NA MATAIFA MENGINE KUSHEREHEKEA SIKU YA KUNYONYESHA

Lydia Kimani msimazi wa lishe bora amewarai waajiri kuwapa kina mama waliojifungua likizo ili waweze kuwanyonyesha wanao huku Kenya ikijiunga na mataifa mengine kusherehekea wiki ya kimataifa ya Kunyonyesha.
Kimani ameongeza kuwa likizo ya uzazi ni haki na muhimu katika afya ya mama na ukuaji wa mtoto.
Imetayarishwa na Janice Marete