WAKENYA WALIPIA KILOWATI MOJA SHILINGI 28
Kamati ya bunge la kitaifa ya kawi imezitaka taasisi zinazohusika kupunguza mara moja bei ya umeme ili kuwaruhusu wakenya kutumia umeme huo katika shughuli zao za kila siku kwa bei nafuu.
Vile vile wameitaka kueleza ni kwa nini mkenya ananunua kilowati moja ya umeme kwa shilingi 28 ilihali mataifa Jirani wananunua kilowati moja kwa shilingi 12 pekee.
Imetayarishwa na Janice Marete
English 





















































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































