MUDAVADI AWATAKA WAKENYA KUKUMBATIA UBUNIFU
Waziri mwenye mamlaka makuu Musalia Mudavadi amewarai vijana Kukumbatia mpango wa mtandao wa facebook kuanza kutoa malipo kwa ubunifu
Mudavadi anasema kuwa vijana ndio wengi nchini na kwamba wana uwezo mkubwa kujiimarisha kimaisha
Mudavadi aina amewahakikishia vijana kuwa serikali imejitolea kujenga vituo vya kiudigitali kote nchini ili kusaidia kukuza ubunifu kwa vijana
Imetayarishwa na Janice Marete
English 












































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































