#uncategorized

MUDAVADI AWATAKA WAKENYA KUKUMBATIA UBUNIFU

Waziri mwenye mamlaka makuu Musalia Mudavadi amewarai vijana Kukumbatia mpango wa mtandao wa facebook kuanza kutoa malipo kwa ubunifu
Mudavadi anasema kuwa vijana ndio wengi nchini na kwamba wana uwezo mkubwa kujiimarisha kimaisha
Mudavadi aina amewahakikishia vijana kuwa serikali imejitolea kujenga vituo vya kiudigitali kote nchini ili kusaidia kukuza ubunifu kwa vijana

Imetayarishwa na Janice Marete

MUDAVADI AWATAKA WAKENYA KUKUMBATIA UBUNIFU

ONGEZEKO LA MAAFISA BANDIA WA EACC

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *