OPIYO; WADOGO WANGU MUWE TAYARI KUHOJIWA NA UMMA
Waziri wa Nishati Opiyo Wandayi anasema kuwa wakenya watafahamisha kuhusu kile ambacho wizara ya nishati itafanya kupata umeme kwa bei nafuu.
Wandayi aidha ameongeza kuwa atapitisha sera ya uwazi akiwataka wadogo wake kuwa tayari kuchunguzwa na umma kuhakikisha uwajibikaji katika wizara hiyo.
Imetayarishwa na Janice Marete
English 

























































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































