#Local News

MUDAVADI; KUPUNGUZWA KWA BAJETI KUMELEMAZA MIRADI YA MAENDELEO

Waziri mwenye mamlaka makuu Musalia Mudavadi amesema kuwa kupunguzwa kwa bajeti kumesababisha kutofikia malengo makuu katika serikali.

Mudavadi ameongeza kuwa mikakati imewekwa kuhakikiisha kuwa bajeti iliyopo kwa sasa inatosheleza sekta zote na kufanikisha maendeleo.

Imetayarishwa na Janice Marete

MUDAVADI; KUPUNGUZWA KWA BAJETI KUMELEMAZA MIRADI YA MAENDELEO

UMATI WAMUUA AFISA WA POLISI KWA KUJARIBU

MUDAVADI; KUPUNGUZWA KWA BAJETI KUMELEMAZA MIRADI YA MAENDELEO

VUTA NIKUVUTE YA MAZIWA KATI YA KENYA,

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *