GAVANA WA BUSIA ATAKIWA KUVUNJA BARAZA LA MAWAZIRI LA KAUNTI
Mbunge wa Bundalangi Raphael Wanjala amemtaka gavana wa kaunti ya Busia Paul Ontwoma kulivunja baraza lake la mawaziri ili kuwatimua mawaziri wazembe na kuwateua wengine na ambao wako tayari kuwafanyia wakaazi wa kaunti hiyo kazi.
Imetayarishwa na Janice Marete
English 












































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































