#Local News

RUTO; ASKUL ANA UWEO WA KUONGOZA WIZARA YAKE

Rais William Ruto amesema kuwa Waziri wa Masuala ya Kikanda na Jumuiya ya Afrika Mashariki Beatrice Askul ana jukumu sio kwa Kenya pekee.

Kwa mujibu wa rais Ruto majukumu ya Askul yataenea hadi kwa nchi washirika, kwa kuwa pia atakuwa mjumbe wa Bunge la Afrika Mashariki (EALA).

Ruto ameongeza kuwa ana imani na ujuzi wa uongozi wa Askul, na kwamba ana imani atatekeleza majukumu yake ipasavyo.

Imetayarishwa na Janice Marete

RUTO; ASKUL ANA UWEO WA KUONGOZA WIZARA YAKE

MSHUKIWA MKUU WA MAUAJI YA KWARE COLLINS

RUTO; ASKUL ANA UWEO WA KUONGOZA WIZARA YAKE

SAKATA YA KWARE: MAAFISA 8 GIGIRI WAFUTWA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *