#Local News

WAHUDUMU WA AFYA WATAKA MALIPO YA MISHAHARA YAO LA SIVYO WATAGOMA

Vyama vya wahudumu wa afya vimepinga agizo la kujadiliana na serikali kuhusu maswala ya mishahara ya wanachama wao na bima ya matibabu.

Kulingana na mwenyekiti wa muungano wa maafisa wa kliniki Peterson Wachira wahudumu wa afya watagoma kila tarehe sita ya kila mwezi ikiwa hawatapokea malipo ya mishahara yao.

Imetayarishwa na Janice Marete

WAHUDUMU WA AFYA WATAKA MALIPO YA MISHAHARA YAO LA SIVYO WATAGOMA

IKULU YAPINGA TETESI ZA ODM KUKOSA KIKAO

WAHUDUMU WA AFYA WATAKA MALIPO YA MISHAHARA YAO LA SIVYO WATAGOMA

MVULANA AJIUA BAADA YA KUZUIWA KUUZA NG’OMBE

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *