#Local News

BUNGE LAMWIDHINISHA KANJA KUWA INSPEKTA MKUU

Hatimaye bunge la kitaifa limemwidhinisha Douglas Kanja kuwa inspekta mkuu wa polisi, na sasa anasubiri uteuzi rasmi wa Rais William Ruto.

Kanja aliyetueliwa mnamo tarehe 25 mwezi Julai, aidha amepewa mamlaka ya kutoa amri kwa maafisa wa idara ya kitaifa ya polisi.

Kanja alilazimika kuondoka kwenye wadhifa huo aliokuwa akishikilia na kumpisha naibu wake wa kitengo cha polisi wa utawala Gilbert Masengeli ambaye amekuwa kaimu, baada ya kuteuliwa rasmi kwenye wadhifa huo ambao kisheria ulihitaji kupigwa msasa.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

BUNGE LAMWIDHINISHA KANJA KUWA INSPEKTA MKUU

MGOMO WA UASU WAZIMWA, MAHAKAMA YAAGIZA MAZUNGUMZO

BUNGE LAMWIDHINISHA KANJA KUWA INSPEKTA MKUU

UCHUNGUZI BAADA YA MOTO KUTEKETEZA DUKA LA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *