#Local News

JE MWANGA WA MWANGAZA UTAZIMWA?

Gavana wa kaunti ya Meru Kawira Mwangaza natarajiwa kujua hatima yake ya kuendelea kuhudumu kama gavana wa kaunti ya meru hii leo.

Mahakama inatarajiwa kutoa uamuzi wake wa iwapo italiondoa agizo linalozuia kuondolewa mamlakani kwa gavana wa Mwangaza au la.

Uamuizi huo vile vile utaamua iwapo gavana mwan gaza ataendelea kuhudumu kiama gavana wa kaunti ya Meru au la.

Imetayarishwa na Janice Marete

JE MWANGA WA MWANGAZA UTAZIMWA?

MTU MMOJA AFARIKI KATIKA MLIPUKO WA GESI

JE MWANGA WA MWANGAZA UTAZIMWA?

ODINGA AWAKOSOA WABUNGE KUHUSU MASAIBU YA KAUNTI

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *