#Local News

MGOMO VYUONI: OMTATAH ASHINIKIZA MAZUNGUMZO

Wakati uo huo, wito unaendelea kutolewa kwa serikali kutafuta suluhu kwa mgomo wa wahadhiri na kuwaepushia wanafunzi wa vyuo vikuu vya masaibu yanayowakumba ikiwemo kukaa vyuoni kwa muda mrefu Zaidi ya kawaida kabla ya kuhitimisha masomo yao.

Wa hivi ni seneta wa Busia Okiya Omtatah ambaye ameutaja mgomo wa wahadhiri unaoendelea kama ambao umefikia hatua mbaya, na kuhimiza mazungumzo baina ya serikali na wahadhiri.

Kupitia mtandao wa kijamii wa X, Omtatah amesikitikia mahangaiko ya wanafunzi na kuwataka wahusika kuwaangazia.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

MGOMO VYUONI: OMTATAH ASHINIKIZA MAZUNGUMZO

“POMBE YA MAUTI NA JELA”

MGOMO VYUONI: OMTATAH ASHINIKIZA MAZUNGUMZO

WAPE MTIHANI KAMA WAKO SAWA, OGAMBA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *