WAUGUZI WATOA ILANI YA MGOMO
Muungano wa wauguzi nchini umetoa makataa ya siku 21 kwa serikali kutoa kima cha shilingi bilioni 11 kwa serikali za kaunti ili kufanikisha zoezi la kuwaajiri wauguzi Zaidi la sivyo uitishe mgomo wa kitaifa na kulemaza matibabu.
Katika kikao na wanahabari jijini Mombasa, katibu mkuu wa muungano huo Seth Panyako amelalamikia jinsi mgao huo umecheleweshwa na kutatiza maslahi ya wauguzi.
Imetayarishwa na Antony Nyongesa
English 





















































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































