#Local News

AFUENI YA NG-CDF KHWISERO

Ni afueni kwa wakazi wa eneo bunge la Khwisero kaunti ya Kakamega baada ya hazina ya ustawishaji wa eneo bunge hilo NG-CDF kutenga kima cha shilingi milioni 35 kugharamia karo ya wanafunzi wa shule za kutwa.

Mbunge wa eneo hilo Christopher Aseka amesema kuwa tayari shilingi milioni 8 zimetengwa kufanikisha mpango huo kwa awamu ya kwanza, wazazi wakihitajika kulipa shilingi 1,000 kama karo ya muhula.

Kulingana naye, mpango huo unalenga kuimarisha usawa.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

AFUENI YA NG-CDF KHWISERO

TUMEMSAMEHE MUUAJI, FAMILIA YA IAN

AFUENI YA NG-CDF KHWISERO

NAIROBI YAZIDI KUDHIBITI USAFI WA JIJI KWA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *