#Local News

RUTO: TUNAKULA MATUNDA YA ‘MAAMUZI MAGUMU’

Tunavuna matunda ya maamuzi magumu na yenye manufaa kwa taifa ambayo sasa yamechangia kuimarika kwa uchumi wa nchi.

Ndiyo kauli ya Rais William Ruto, akizungumza kwenye kikao na wasanii katika Ikulu ya Nairobi.

Rais amesisitiza kwamba hakuna muda ambao umepotea katika siku zake 1,000 mamlakani, akisema kila siku imekuwa ni kuchapa kazi.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

RUTO: TUNAKULA MATUNDA YA ‘MAAMUZI MAGUMU’

MBIOMBIO ZA KUSAJILI WACHEZAJI

RUTO: TUNAKULA MATUNDA YA ‘MAAMUZI MAGUMU’

WATALII 5 WAFA KWENYE AJALI NYANDARUA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *