#Sports

MMOJA APOTEZA MAISHA KWENYE MAANDAMANO

Mtu mmoja amepoteza maisha kwenye maandamano yaliyoshuhudiwa hapa Nairobi baada ya kukabiliwa na polisi kwenye barabara ya Moi.

Kulingana na video inayoendelea kusambazwa mitandaoni marehemu ambaye alikuwa akiendelea na biashara yake ya kuuza maski alivamiwa na polisi 2 waliompiga kabla ya mmoja kumfyatulia risasi na kisha kuondoka.

Watu wengine wanaendelea kuuguza majeraha na wengine kuzuiliwa na polisi.

Imetayrishwa na Maureen Mukhobe

MMOJA APOTEZA MAISHA KWENYE MAANDAMANO

KAMATI YAWAPA AFUENI WALIPA KODI

MMOJA APOTEZA MAISHA KWENYE MAANDAMANO

WASHUKIWA WA MAUAJI YA WERE KUSALIA KIZUIZINI

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *