#Local News

TALAAM KUSALIA NDANI KWA SIKU 15

Ocs wa kituo cha polisi cha central Samson Talam atasalia kizuizini kwa muda wa siku 15 ili kutoa nafasi ya kukamilishwa kwa uchunguzi katika kifo tata cha mwalimu Albert Ojwang.

Katika uamuzi uliotolewa na hakimu Benmark Ekhubi mahakama imeridhishwa na sababu zilizotolewa na upande wa mashtaka za kutaka azuiliwe.

Uamuzi huo umechochewa na hatua ya kuharibiwa kwa kamera za cctv katika afisi yake wakati kama njia moja ya kuharibu Ushahidi.

Imetayrishwa na Maureen Mukhobe

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *