#Local News

KINDIKI ASIFIA E-CITIZEN

Serikali imeweza kukabili ufisadi kupitia utoaji wa huduma zake kwenye mfumo wa Ecitizen kinyume na ilivyokuwa hapo awali.

Akiongea katika mkao unaofanyika hapa Nairobi wa baraza la mawaziri na wakuu wengine wa serikali naibu wa rais Kithure Kindiki anasema mfumo huo pia umesaidia kuongeza mapato ya serikali na kufanikisha huduma nyingine tofauti.

Imetayrishwa na Antony Nyongesa

KINDIKI ASIFIA E-CITIZEN

EACC YAREJESHA ARDHI YA UMMA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *