#Local News

WETANG’ULA AHIMIZA KANISA KUOMBEA NCHI

Viongozi wa kisiasa wameshauriwa kujitenga na siasa za migawanyiko na badala yake kujihusisha na mijadala inayoweza kuchangia kuendelea kwa taifa.

Akizungumza katika kaunti ya Bungoma, spika wa bunge la kitaifa Moses Wetang’ula, amelitaka kanisa kuwa mstari wa mbele katika kuombea mshikamano wa taifa.

Imetayrishwa na Antony Nyongesa

WETANG’ULA AHIMIZA KANISA KUOMBEA NCHI

GACHAGUA: SERIKALI INAFADHILI WAHUNI

WETANG’ULA AHIMIZA KANISA KUOMBEA NCHI

HOFU YAENDELEA MWIKI KUHUSU MAUAJI

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *