#Local News

BIASHARA ZAKADIRIA HASARA YA MAMILIONI NAIROBI

Wafanyabiashara kadhaa katikati mwa jiji la Nairobi wanaendelea kukadiria hasara ya mamilioni ya pesa baada ya biashara zao kuporwa wakati wa maandamano ya hapo jana.

Maeneo yaliyoathirika pakubwa na OTC, Bus Station nae neo la Koja ambako pia wanawake kadhaa waliokuwa wakijiandaa kusafiri kwenda Qatar kusaka ajira, walinusurika kifo baada ya jengo walimokuwa kushika moto katika eneo hilo la Koja.

Mabaki ya vioo na majivu yangali taswira ya jiji.

Imetayrishwa na Antony Nyongesa

BIASHARA ZAKADIRIA HASARA YA MAMILIONI NAIROBI

MAAFA YA MAANDAMANO

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *