BIASHARA ZAKADIRIA HASARA YA MAMILIONI NAIROBI
Wafanyabiashara kadhaa katikati mwa jiji la Nairobi wanaendelea kukadiria hasara ya mamilioni ya pesa baada ya biashara zao kuporwa wakati wa maandamano ya hapo jana.
Maeneo yaliyoathirika pakubwa na OTC, Bus Station nae neo la Koja ambako pia wanawake kadhaa waliokuwa wakijiandaa kusafiri kwenda Qatar kusaka ajira, walinusurika kifo baada ya jengo walimokuwa kushika moto katika eneo hilo la Koja.
Mabaki ya vioo na majivu yangali taswira ya jiji.
Imetayrishwa na Antony Nyongesa
English 












































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































