#Sports

RANGERS WASALIA KWA LIGI KUU

Posta Rangers wamehifadhi nafasi yao ya Ligi Kuu ya FKF (FKFPL) licha ya kupokea kichapo cha 1-0 kutoka kwa Naivas FC katika mkondo wa pili wa mchujo wa kupanda daraja/kushuka daraja uliochezwa mjini Murang’a.

Wanabarua hao walishikilia faida ya jumla ya 2-1, baada ya kupata ushindi wa 2-0 katika mkondo wa kwanza mjini Thika wikendi iliyopita.

Imetayarishwa na Nelson Andati

RANGERS WASALIA KWA LIGI KUU

GOR YAACHILIA WACHEZAJI WAKE

RANGERS WASALIA KWA LIGI KUU

PEDRO ASAJILIWA NA CHELSEA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *