#uncategorized

LUSAKA ATIA SAINI BAGETI

Makadirio ya bajeti ya mwaka wa kifedha wa 2025-26 ya shilingi bilioni 15.9 katika kaunti ya Bungoma yameanza kutekelezwa, baada ya gavana Ken Lusaka kutia Saini rasmi kuwa sheria mswada wa makadirio hayo.

Akizungumza baada ya hafla hiyo, Lusaka ameweka wazi mpango anaosema utahakikisha usawa wa maendeleo katika maeneo yote ya kaunti hiyo, shilingi bilioni 10.86 ambazo ni sawa na asilimia 68 nya bajeti hiyo zikitengewa matumizi ya mara kwa mara.

Aidha, amesema serikali yake itafanya kila iwezo kuongeza ukusanyaji ushuru

Antony Nyongesa

LUSAKA ATIA SAINI BAGETI

SIKU 2 KUU ZA GAVANA GUYO ZAANZA

LUSAKA ATIA SAINI BAGETI

PINDA PINDUA ZA MAANDAMANO

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *