#Local News

GAVANA GUYO APUMUA

Gavana wa Isiolo Abdi Guyo ameponea shoka la kubanduliwa kutoka afisini baada ya seneti kutupilia mbali hoja ya kumbandua kwa misingi kwamba bunge la kaunti hiyo halikufuata mwongozo hitajika wa kujadili na kupigia kura hoja hiyo lililipombandua.

Kulingana na taarifa ya seneti, maseneta 31 walipinga uamuzi wa wawakiklishi wadi wa Isiolo kumbandua huku 18 pekee wakipiga kura ya kukubaliana na uamuzi huo.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

GAVANA GUYO APUMUA

PINDA PINDUA ZA MAANDAMANO

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *