PSC KUWAHOJI WANACHAMA WA SRC
Mchakato wa kujaza nafasi za wanachama wa tume ya kuratibu mishahara ya wafanyakazi wa umma SRC unaendelea, tume ya huduma za umma PSC ikiwaorodhesha wawaniaji 9 watakaohojiwa kujaza nafasi hizo.
9 hao ni pamoja na Michael Kingi, Mary Seneta, Abdul Bahari, Richard Chacha, Zuleikha Juma na Teresiah Jesurah, PSC ikitoa wito kwa umma kuwasilisha taarifa muhumu kuwahusu.
Mahojianao hayo yatfanyika Ijumaa wiki ijayo.
Imetayarishwa na Antony Nyongesa
English 





















































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































