#Local News

NITAVURUGA MIFUMOMKINICHAGUA, KIGAME

Uongozi wangu kama rais utakuwa wenye kuvuruga mifumo iliyoko ili kubadilisha jinsi siasa na uongozi unavyoendeshwa humu nchini.

Ni kauli ya mwaniaji wa urais kwenye uchaguzi mkuu ujao na mwimbaji Reuben Kigame, akizungumza kwenye mahojiano na wanahabari.

Kigame amesisitiza haja ya kuifanya elimu tena kama suala la kipaumbele, akirejelea enzi ya rais wa tatu Mwai Kibaki.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

NITAVURUGA MIFUMOMKINICHAGUA, KIGAME

14 WAKAMATWA KITALE

NITAVURUGA MIFUMOMKINICHAGUA, KIGAME

MAGAVANA WAENDELEA KUMULIKWA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *