#Local News

GAVANA NDETI AWATIMUA MAAFISA ‘FISADI’

Gavana wa Machakos Wavinya Ndeti amewasimamisha kazi maafisa 33 wa idara ya kukusanya mapato kwa madai ya kuhusika na ufisadi.

Hatua ya Ndeti inajiri kufuatia ongezeko la hofu kuhusu shughuli za udanganyifu, huku gavana huyo akiapa kusambaratisha shughuli hizo ili kuimarisha utoaji huduma kwa wakazi.

Miongoni mwa hulka za udanganyifu ni madai ya maafisa hao kudanganya kuhusu mapato yaliyokusanywa mbali na utoaji wa risiti ghushi. 

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

GAVANA NDETI AWATIMUA MAAFISA ‘FISADI’

ALVAREZ APIGWA MARUFUKU MIEZI KUMI

GAVANA NDETI AWATIMUA MAAFISA ‘FISADI’

NIIA PANDA YA MAKURUTU 10,000

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *