#Local News

KESI YA ‘ALIYEMUUA” RAIS YAENDELEA

Kesi ya mwanafunzi wa chuo kikuu David Mokaya anayetuhumiwa na mashtaka ya kulidanganya taifa kwa kuchapisha picha zinazoashiria kifo cha rais William Ruto inaendelea katika mahakama ya Milimani jijini Nairobi ambako mshtakiwa alikana mashtaka.

Mwanafunzi huyo anadaiwa kuchapisha picha ya jeneza lenya bendera ya taifa na maandishi yanayoashiria mazishi ya rais, madai ambayo mawakili wanaomwakilisha wakiongozwa na Danstan Omari wamepinga.

Aidha, mawakili wamesema polisi walikiuka sheria katika kumkamata Mokaya jijini Eldoret ambako walinasa simu na tarakilishi yake.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

KESI YA ‘ALIYEMUUA” RAIS YAENDELEA

JUHUDI ZA SERIKALI BADO, WAKENYA

KESI YA ‘ALIYEMUUA” RAIS YAENDELEA

MAHAKAMA YATIA BREKI JOPO, E-GP

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *