#Local News

RUTO: KUNA UBAGUZI KATIKA MSAADA HAITI

Utepetevu wa mataifa na ukosefu wa kujitolea kutimiza ahadi za kurejesha utulivu nchini Haiti ndicho kikwazo kikubwa katika kufanikisha operesheni hiyo inayoongozwa na polisi wa Kenya.

Ndiyo kauli ya Rais William Ruto akizungumza nchini Marekani, ambapo ameyalaumu kutokana na alichokitaja kuwa kurejesha nyuma harakati za kuleta amani katika taifa hilo la Karibia.

Hata hivyo, amekariri kuwa Kenya itasalia nchini humo hadi amani itakaporejeshwa.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

RUTO: KUNA UBAGUZI KATIKA MSAADA HAITI

MACHIFU MANDERA KUPEWA BUNDUKI, MURKOMEN

RUTO: KUNA UBAGUZI KATIKA MSAADA HAITI

PAMZO APONGEZA KIKOSI CHAKE

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *