#Local News

IEBC YAANZA USAJILI WA WAPIGA KURA

Zoezi la kuwasajili wapiga kura zaidi linafunguliwa rasmi hii leo, tume huru ya uchaguzi na mipaka IEBC ikisema inalenga kuwasajili wapiga kura wapya milioni 6.3 katika zoezi hilo.

Wanaosajiliwa ni wakenya walio na umri wa miaka 18 au zaidi, zoezi hilo likiendeshwa katika vituo vya huduma yaani Huduma Centers na afisi za usajili za IEBC kote nchini.

Wakati uo huo, viongozi kutoka serikalini na upinzani wamewarai wakenya kukumbatia fursa hiyo.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

IEBC YAANZA USAJILI WA WAPIGA KURA

ODM: HATUTAKUWA TENA UPINZANI

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *