#Local News

UBASHIRI WAONYA KUHUSU MAFURIKO

Idara ya utabiri wa hali ya anga imewataka wakenya kutahadhari kuhusu uwezekano wa mafuriko kutokana na mvua inayoendelea katika maeneo mbali mbali ya nchi.

Kulingana na idara hiyo, huenda mvua inayoendelea ikaandamana na upepo mkali na ngurumo za radi, maeneo yaliyo katika nyanda za chini yakirataibiwa kuwa na mafuriko.

Wakenya wameshauriwa kutopita katika maji ya mafuriko iwe kwa miguu au kwa magari.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

UBASHIRI WAONYA KUHUSU MAFURIKO

HAALAND AWAKA MOTO EPL

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *