#Local News

FIDIA YA MAANDAMANO: MAHAKAMA YAZUIA JOPOKAZI, TENA

Mahakama kuu mjini Kerugoya imeongeza agizo linaloifutilia mbali utendakazi wa jopokazi lililoteuliwa na rais William Ruto kuweka mfumo wa kuwafidia waathiriwa wa maandamana na ghasia zilizotokea wakati wa maandamano.

Hakimu Edward Muriithi ametoa uamuzi wa kuzuia utendakazi wa jopokazi hilo ukisubiri malalamishi ya wahusika katika kesi hiyo yatakaposikilizwa tarehe 21 mwezi huu.

Uamuzi huo unajiri huku rais wa LSK Faith Odhiambo akijiuzulu kutoka wadhifa wa naibu mwenyekiti wa jopokazi hilo.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

FIDIA YA MAANDAMANO: MAHAKAMA YAZUIA JOPOKAZI, TENA

MEMPHIS DEPAY AIBIWA PASPOTI BRAZIL

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *