UJUMBE WA SIKU YA MAZINGIRA
Unahimizwa kuitembelea shule ya msingi iliyo karibu nawe na kupanda miche hii leo kwenye maadhimisho ya siku ya Mazingira, ili kuiwezesha serikali kufanikisha ajenda yake ya kupanda miche bilioni 15 kufikia mwaka 2032.
Kulingana na Waziri wa mazingira Deborah Mulongo, siku hii inalenga kuimarisha hulka ya kutunza mazingira, akisema serikali iko mbioni kufanikisha upanzi wa miche hiyo.
Amesema zaidi ya miche bilioni 1 imepandwa tangu uzinduzi wake.
Imetayarishwa na Antony Nyongesa
English 











































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































