#Local News

BARABARA YA NJORO-MAU SUMMIT KUFUNGWA

Mamlaka ya kitaifa ya barabara kuu nchini imetangaza kufungwa kwa muda barabara ya Njoro- Mau summit ili kupisha kazi muhimu kwa ujenzi wa lami kufanyika .

Kupitia tangazo la umma mamlaka hiyo imesema kuanzia tarehe 16 mwezi huu hadi tarehe 6 mwezi ujao, barabara hiyo itafungwa  huku madereva wanaotumia barabara hiyo wakishauriwa kutumia barabara ya Kibunja kama njia mbadala .

Watumiaji wa barabara wametakiwa kufuata maelekezo kutoka kwa mamlaka hiyo ili kuhakikisha kuna usafiri mzuri wakatai wa ujenzi huo. 

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

BARABARA YA NJORO-MAU SUMMIT KUFUNGWA

TAJI BAADA YA TAJI KWA KIPYEGON

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *