WAHADHIRI WASHIKILIA MGOMO UTAENDELEA
Mgomo wa wahadhiri wa vyuo vikuu vya umma umeingia siku yake ya 29 hii leo huku wahadhiri hao wakishikilia kuwa wataendelea kugoma hadi serikali iwalipe shilingi bilioni 7.9 wanazodai
Haya yanajiri baada ya mazungumzo baina yao na wizara ya elimu kuendelea kukosa mwafaka, huku Waziri wa elimu Julius Ogamba akisema huenda suluhu ikapatikana baadaye wiki hii.
Imetayarishwa na Antony Nyongesa
English 





















































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































