#Local News

MGOMO WA WAHADHIRI WAFIKA MAHAKAMANI

Macho yote sasa yameelekezwa kwa mahakama kutoa mwelekeo kuhusu mgomo wa wahadhiri wa vyuo vikuu vya umma ambao umedumu kwa mwezi mmoja sasa, baada ya kikao cha mazungumzo kati ya wahadhiri na serikali kufeli.

Katibu mkuu wa UASU Dakta Constantine Wasonga, ameilaumu serikali kwa madai ya kukwamisha utekelezaji wa mkataba wa maelewano wa mwaka wa 2017-21.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

MGOMO WA WAHADHIRI WAFIKA MAHAKAMANI

JESHI LATWAA MADAGASCAR 

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *