#Local News

WAKENYA WAOMBOLEZA ODINGA NYAYO

Hali ya huzuni imetanda kwa muda katika uwanja wa michezo wa Nyayo, wakenya wakitokwa na machozi wakati mwili wa Waziri mkuu wa zamani Raila Odinga umewasili kwa ajili ya ibada ya kitaifa ya mazishi.

Baadhi ya waombolezaji walisimama pembeni pa barabara ambako mwili wa Odinga ulipita kutia kutoka majengo ya bunge la kitaifa wakipunga vijibendera

Wamemkumbuka Odinga kwa mchango wake katika demokrasia na ugatuzi.

Imetayarishwa na Antony Nyonyesa

WAKENYA WAOMBOLEZA ODINGA NYAYO

WAKUU WA MATAIFA WAWASILI NYAYO

WAKENYA WAOMBOLEZA ODINGA NYAYO

MUSYOKA AKATIZA ZIARA UINGEREZA, AREJEA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *