WAHADHIRI WAKATAA KUSITISHA MGOMO
Wahadhiri katika chuo kikuu cha Moi mjini Eldoret wamesema wataendelea na mgomo hadi pale matakwa yao yatakapo tekelezwa.
Mgomo huo sasa umekuwepo kwa zaidi ya siku 30 huku wanafunzi wakiendelea kusubiri kwa matumaini kuwa mgomo huo utafikia kikomo hivi karibuni.
Imetayarishwa na Jones Koikai
English 








































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































